SHAMBA LA BABU

Tunajishughulisha na uuzaji wa maziwa halisi ya Ng'ombe, Kuku wa kienyeji na wa kisasa (layers na broylers) waliosindikwa na wazima, mayai ya kienyeji na ya kisasa. Pia tunauza Samaki wa aina zote. Bei zetu zinalenga kuwafurahisha wateja na kumfanya ajisikie yupo shambani kwa babu. Tupo Tangibovu karibu kabisa na magari yaendayo Goba utaona bango letu. KARIBU SANA.

Saturday, 10 June 2023


 

Posted by SHAMBA LA BABU at 07:24 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Posts Older Posts Home
Subscribe to: Posts (Atom)

About Me

SHAMBA LA BABU
View my complete profile

My daily stories

  • ▼  2023 (1)
    • ▼  June (1)
      •  
  • ►  2017 (4)
    • ►  April (2)
    • ►  March (2)
Travel theme. Powered by Blogger.