SHAMBA LA BABU
Tunajishughulisha na uuzaji wa maziwa halisi ya Ng'ombe, Kuku wa kienyeji na wa kisasa (layers na broylers) waliosindikwa na wazima, mayai ya kienyeji na ya kisasa. Pia tunauza Samaki wa aina zote. Bei zetu zinalenga kuwafurahisha wateja na kumfanya ajisikie yupo shambani kwa babu. Tupo Tangibovu karibu kabisa na magari yaendayo Goba utaona bango letu. KARIBU SANA.
Saturday 10 June 2023
Friday 21 April 2017
Thursday 30 March 2017
Sunday 19 March 2017
Maziwa yake yanafaa sana kwa watoto wadogo kwani yana protein za kutosha kumfanya mtoto awe na afya nzuri.
Pia yakigandishwa vizuri maziwa haya utayafurahia kama mtindi na hivyo kuwa kiburudisho kizuri baada ya mlo wako wowote.
Wengi waliofika dukani kwetu wamesifia maziwa haya na wengi wameweka bili kwa ajili hiyo.
Subscribe to:
Posts (Atom)